SEC 4G ni App ya Uinjilisti inayohusika na usajili wa mkutano wa mawasiliano katika conference ya SEC. Kwa kupitia App hii wadau wote wa mawasiliano katika konferensi ya Kusini Mashariki mwa Tanzania watakuwa na fursa ya kujisajili kwa nji ya kisasa zaidi. Pia kupitia App ii wataweza kujua namna ya kulipia kiingilio, kujisajili na kuwatambua wahudumu na mada watakazo zitoa katika mkutano huo. Inategemewa kuwa ratiba na baadhi ya mada za semina hizi zitapachikwa katika App hii. Karibuni